96 – Mali Yako Sasa

( 670 – We Give Thee But Thine Own )

1. Mali yako sasa, Bwana, tutatoa;
Hatuna yaliyo yetu, Yote ni vipaji.

2. Sisi watumishi, Twaungama deni;
Tunge irudisha kwake, Iliyo ya Bwana.

3. Utusaidie, Upendo kujua,
Kwa ajili yao wote Walio gizani.

4. Neno tumaini na kutegemea:
Kwamba lote tufanyalo, Tulifanye kwako.

WhatsApp