9 – Mwumbaji, Mfalme

( 015 – My Maker and My King )

  1. Mwumbaji, MfalmeVitu vyote vyako;
    Ni kwa ukarimu wako
    Ninabarikiwa,
    Ni kwa ukarimu wako
    Ninabarikiwa.
  1. Uliyeniumba,Nakutegemea;
    Sina budi kuzisifu
    Hisani zako kuu,
    Sina budi kuzisifu
    Hisani zako kuu.
  1. Nitatoa nini?Kwanza vitu vyote vyako.
    Upendo wako wadai
    Moyo wa shukrani,
    Moyo wako wadai
    Moyo wa shukrani.
  1. Nipewe neema,Niwe nauwezo
    Wa kuishi kwako, Bwana:
    Siku zangu, zako,
    Wa kuishi kwako, Bwana:
    Siku zangu zako.
WhatsApp