89 – Asubuhi

( 039 – Lord, in the Morning )

1. Bwana asubuhi kucha nitakuinua
Sauti yangu kuomba, nipate baraka.

2. Nakuomba roho yako niongozwe nayo;
Nifanye yanipasayo, na mapenzi yako.

3. Wanaokutegemea, U Mlinzi wao;
Matumaini wanayo, utayatimiza.

4. Na kwa wingi wa fadhili, Nyumbani mwako juu
Nitaingia na wimbo, Pale kusujudu.

WhatsApp