73 – “Bwana, Uniongoze Juu”

( 625 – Higher Ground )

1. Nakaza mwendo mbinguni, kila siku napanda juu;
Naomba nikisafiri, “Bwana uniongoze juu.

Bwana uniinue juu Kwa imani hata mbingu,
Juu kuliko dunia; Bwana uniongoze juu.

2. Moyo wangu hutaki Kukaa palipo shaka;
Wengine wapenda chini nia yangu ni ku panda.

3. Nataka kupanda juu Nisishindwe na adui;
Kwa imani nasikia sauti ya washindaji.

4. Kupanda juu nataka niuone utukufu;
Hata mwisho nitaomba, “Bwana uniongoze juu.”

WhatsApp