1. Cha kutumaini sima ila damu yake Bwana,
Sina wema wa kutosha Dhambi zangu kuziosha.
Kwake yesu nasimama,
Ndiye Mwamba: ni salama;
Ndiye mwanba: ni salama;
2. Njia yangu iwe ndefu yeye hunipa wokovu;
Mawinbini yakinipoga nguvu zake ndio nanga.
3. Damu yake na sadaka nategemea daima,
Yote chini yakiisha mwokozi atanitosha.
4. Nikiitwa hukumuni, rohoni nina amani;
Nikivikwa haki yake sina hofu mbele zake.