1.Roho yangu amka sasa, mara jitahidi;
Shindano ni lake Bwana, Zawadi ni taji.
2.Sauti ni yake Mungu inayokuita;
Ndiyo alitekirimu taji ya uzima.
3.Mashahidi ndio wengi wanaokuoma;
Ya nyuma usifikiri bali mwendo kaza.
4.Bwana umetuanzisha katika shindano;
Kwa vile tunaposhinda ushindi ni wako.