62 – Napenda Kitabu Chake

( I Love The Sacred Book Of God )

1. Napenda kitabu chake, Kilichotoka mbinguni,
Barua kwangu ya Bwana Ujumbe wake wa upendo.

2. Humo ndani ya Kitabu Sura ya yesu naona
Karatasi zimekuwa, Wayo zake za Mwongozi.

3. Neno Lake ni maonju, Kubwe la asali tamu;
Natamani kuuonja Ule mkate wa uzima.

4. Mapenzi Yake Mwumbaji, Yanafunuliwa humo;
Hazina kuu ya hekima, Utajiri wa ajabu.

5. Mwangaza wa ulimwengu Angaza humo moyoni!
Uwe mwandamizi pote, Taa ya hatua zangu.

WhatsApp