( I Am Thinking Today )
- Leo ninafikiri ya nchi nzuri Ninayotaka kuiona;
Nisimamapo karibu na Mwokozi, Tajini zitakuwa nyota?
Sijui tajini mwangu kama nyota
Zitang’aa kila wakati!
Nitakapoamka katika majumba,
Zitakuwa nyota tajini?
- Kwa nguvu za Bwana nitafanya kazi, Nitavuta roho za watu,
Ili niwe na nyota katika taji, Bwana anapotupa tunu.
- Nitakuwa na furaha nikimwona, Kuweka miguuni pake
Watu waliovutwa kwa ajili ya Kazi yangu na Roho yake.