(
272 – Give Me the Bible )
- Nipe Biblia nyota ya furaha, wapate nuru wasafirio;
Hakuna la kuzuia amani, Kwani Yesu alituokua.
Nipe Biblia neno takatifu, Nuru yake itaniongoza;
Sheria na ahadi na upendo,Hata mwisho vitaendelea.
- Nipe Biblia nihuzunikapo ikinijaza moyoni dhambi;
Nipe neno zuri la Bwana Yesu, Nimwone Yesu Mwokozi wangu.
- Nipe Biblia nipate kuona, hatari zilizo duniani;
Nuru ya neno lake Bwana Yesu, itaangaza njia ya kweli.
- Nipe Biblia taa ya maisha; Mfariji tunapofiliwa;
Unionyeshe taa ya mbinguni, Nione utukufu wa Bwana.