(
462 – Blessed Assurance, Jesus is Mine! )
Mtunzi :
- Yesu Mwokozi, kwa hakika, Hunipa furaha na amani;
Mrithi wa wokovu wake, Natakaswa kwa damu yake.
Habari hiyo wimbo wangu, Daima nitamsifu Yesu.
Habari hiyo wimbo wangu, Daima nitamsifu Yesu.
- Nijitoapo nina raha, Na kwa imani namwona Bwana;
Aniletea malaika, Wananilinda, niokoke.
- Hali na mali anaitwaa, Katika Yesu nabarikiwa;
Nikimngoja kwa subira, Wema wake unanitosha.