48 – Ninakupenda Zaidi

( I Know I Love Thee Better, Lord )

1. Ninakupenda zaidi, Ya vyote vingine;
Kwani umenipa raha, Na amani, Bwana.

Nusu haijatangazwa (Tangazwa)
Ya upendo wako;
Nusu haijatangazwa (Tangazwa)
Damu hutakasa (takasa).

2. Nakujua u karibu Kuliko dunia;
Kukukumbuka ni tamu kupita kuimba.

3. Kweli wanifurahisha, na nitafurahi;
Pasipo upendo wako naona huzuni.

4. Itakuwaje Mwokozi, Kukaa na wewe,
Ikiwa ulimwenguni Tuna furaha hii?

WhatsApp