47 – Ni Heri Kifungo

( 350 – Blest Be the Tie That Binds )

1. Ni heri kifungo kinachotufunga
Mioyo yetu kwa pendo la Kikristo.

2. M-bele ya Baba Tunatoa sala,
Hofu, nia masumbufu Yetu ni mamoja.

3. Tunavishiriki Matata na shida,
Na mara nyingi twatoa Chozi la fanaka.

4. Tunapoachana Moyoni twalia;
Lakini tutakutana M-wisho mbinguni.

 

WhatsApp