44 – Urafiki Wa Yesu

( There's Not A Friend )

1. Hakuna rafiki kama Yesu, Hakuna, hakuna!
Tabibu mwingine wa rohoni, Hakuna hakuna!

Yesu ajua shida zetu; Daima ataongoza.
Hakuna rafiki kama Yesu, Hakuna, Hakuna!

2. Wakati ambapo hapo yeye, Hapana, hapana!
Wala giza kukutenga naye, Hakuna, hakuna!

3. Aliyesahauliwa naye, Hakuna, hakuna!
Mkosaji asiyempenda, Hakuna, hakuna!

4. Kipawa kama mwokozi wetu, Hakuna, hakuna!
Ambaye atanyimwa wokovu Hakuna, hakuna!

WhatsApp