39 – Ati, Kuna Mvua Njema

( Lord, I Hear of Shower )

1. Ati, kuna mvua njema yanya yenye neema;
Watu wanaona vyema Bwana, huninyeshei?

Na mimi? Na mimi? Bwana, huninyeshei?

2. Sinipite, Baba Mwema; dhambini nimezama;
Rehema niza daima; Bwana hunionyeshi?

3. Sinipite, Yesu Mwema; niwe nawe daima,
Natamani kukwandama: Bwana, hunichukui?

4. Sinipite, Roho Mwema, Mpaji wa uzima,
Nawe shahidi wa wema, Bwana wema hunipi?

WhatsApp