33 – Karibu Sana

( 301 – Near, Still Nearer )

1. Karibu sana univute, Karibu sana daima nawe.
Bwana napenda unishike, Unilinde nisianguke nawe.
Unilinde nisitengwe nawe.

2. Karibu sana, sina kitu sina, Sadaka kwa Bwana Yesu,
Isipokuwa moyo wangu: Uutakase katika damu,
Uutakase katika damu.

3. Karibu sana, Wewe nami. Ninafirahi kuacha dhambi-
Anasa zote na kiburi: Nipe Yesu niliyemsulibi,
Nipe Yesu niliyemsulibi.

4. Karibu sana, hata mwisho. Hata mbinguni nisimamapo:
Daima dawamu niwepo Nitakapoona usi wako,
Nitakapoona uso wako.

WhatsApp