217 – Omba Sana Asubuhi

( Whisper a Prayer in the Morning )

Omba sana asubuhi,
Omba sana mchana,
Omba sana na jioni,
Bwana hutusikia.

Mungu hujibu maombi,
Asubuhi na mchana,
Hata hutungojea tena,
Wakati wa jioni.

Na tuimbe asubuhi.
Tena saa za mchana.
Hivi tutafurahi Naye.
Pumziko la jioni.

WhatsApp