203 – Ya Saba Ni Kwa Yesu

( The Seventh Day Is For Jesus )

1. Siku sita fanya kazi, Ya saba ni kwa Yesu.
Hapo tunapo pumzika, kwani ni yake Yesu.

Moja, mbili, tatu,nne, tano, sita, zote kwetu;
Lakini tutakumbuka, Ya saba ni kwa Yesu.

2. Huonyesha ya kufanya, Kwa kuwa ni ya Yesu,
Na atuonyesha njia, tutamfuata Yesu.

3. Tuombe kila Sabato, Na kujifunza kwake;
Tutamtii daima, tutakaa na Yesu.

WhatsApp