2 – Twamsifu Mungu

( We Praise Thee, O God )

  1. Twamsifu mungu mwana wa upendo, aliyetufia na kupaa juu.
                         Aleluya! Usifiwe, aleluya! Amin; aleluya usiwe, utubariki.
  1. Twamsifu mungu, roho mtukufu,Akatufunulia mwokozi wetu.
  1. Twamsifu mwana, aliyetufia,Akatukomboa na kutuongoza.
  1. Twamsifu mungu, wa neema yote,Aliyetwaa dhambi, akazifuta.
  1. Tuamshe tena, tujaze na pendo.Moyoni uwashe moto wa roho.
WhatsApp