194 – Twaomba baraka zako

( We Pray for your Blessings )

1. Twaomba, Bwana, umpokee Kama mhudumu;
Ambaye anjitoa Kuwa mtumishi.

2. Twaomba, Bwana, umpokee Kama mhudumu;
Neno lako alitoe, Mwangaza kung’aa.

3. Mwokozi wetu, twaomba, na umwandikie
Kitabuni mwako juu Mjumbe wa injili.

4. Silaha zake apewe Kumshinda adui;
Vitabuni awe hohari, Mpaka mauti.

5. Yeye ashindaye, Bwana, Kwa rehema yako,
Ile taji ya dhahabu, Nawe utampa.

WhatsApp