179 – Watafurahi

( 430 – Joy By and By )

1. Wavunaji watafurahi, pale watakapo rudi,
Wakiyaleta mavuno hata Yerusalemu.

Furaha wataipata, furaha hata milele,
Furaha, wataipata, wakati wa mavuno.

2. Na siku ile tutaimba, kumshukuru na kumsifu
Bwana Yesu Jumbe wetu, kule Yerusalemu.

3. Wavunaji watafurahi makaoni mwa milele
Yaliyowekwa tayari kule Yerusalemi.

WhatsApp