178 – Ukingoni Mwa Yordani

( 620 – On Jordan's Stormy Banks )

1. Ukingoni mwa Yordani ninaangalia
Bara nzuri ya Kaanani, ninayotamani.

Tutakaa pamoja na Yesu,
Katika pwani yenye raha;
Tutaimba wimbo wa Musa na Kondoo,
Milele hata milele.

2. Bara ile ina nuru, nuru ya milele;
Kristo, Jua, hutawala, hufukuza giza.

3. Nitapafikia lini na kubarikiwa,
Penye ufalme wa Baba. Na kumwona uso?

WhatsApp