172. Mfalme Ajapo

( Called To The Feast )

1. Mfalme wetu atuita tukae karamuni kwake;
Itakuwaje nasi kule Bwana akija?

Bwana ajapo, ndugu, Bwana ajapo!
Itakuwaje na sisi, Bwana akija?

2. Atavikwa vizuri sana,taji badala ya miiba;
Kweli tokeo la fahari Bwana ajapo.

3. Kwa fufaha awakubali wenye mavazi ya arusi;
Tu wa heri tukimridhisha Bwana ajapo.

4. Kutakuwako na utengo: watalia waliomwasi;
Cha kutisha kitambo kile Kristo ajapo!

5. Mfalme utupe neema sisi tunapokungojea
Tusiogope kukuona ujapo Bwana.

WhatsApp