171 – Hukumu

( 416 – The Judgment Has Set )

1. Imeanzishwa hukumu mbinguni; Tutasimamaje pale
Apomapo Mungu hakimu kula wazo na tendo?

Tutasimamaje sote katika siku kuu ile?
Dhambi zitu zitafutika ama zitatuangusha?

2. Wametangulia wafu kupimwa, Kitambo ndipo wahai,
Watapokea neno la mwisho, Vitabuni mwa Mungu.

3. Tutasimamaje usiku ule, Siri zetu, kila moja,
Zafunuliwa toka vitabu; Yesu atusaidie!

WhatsApp