1. Si mimi, Kristo astahili sifa;
Si mimi, Kristo ajulikane;
Si mimi, Kristo katika maneno,
Si mimi, Kristo kwakila tendo.
2. Si mimi, Kristo, kuponya huzuni;
Kristo pekee, kufuta machozi;
Si mimi, Kristo, kubeba mzigo;
Si mimi, Kristo, kupunga hofu.
3. Kristo pekee, pasipo kujisifu;
Kristo pekee, na nizungunze,
Kristo pekee, na hakuna kiburi;
Kristo pekee, sifa yangu ife.
4. Kristo pekee, mahitaji atoe
Si mimi, Kristo, kisima changu;
Kristo pekee, kwa mwili na kwa moyo;
Si mimi, Kristo, hata milele.