169. Tutashindae Hukumuni?

( When Jesus Shall Gather )

1. Hapo Yesu atakapoita mataifa mbele yake,
Tutashindaje kwenye hukumu mbele ya kiti cha enzi?

Atakusanya ngano ghalani, atatupambali makapo;
Tutashindaje hukumuni siku kuu ya kiyama?

2. Je, tutasikua neno tamu: “vema, wewe mtumwa mwema,”
Ama wenye uchunguna hofu tutakatazwa ufalme?

3. Atakubali tu kwa furaha watoto wake wapendwa,
Atawapa mavazi meupe, wakea tayari kumlaki.

4. Hivyo tukeshe, nasi tungoje, wenye taa zinazo waka;
Tutakapoitwa arusini tuwe tayari kumlaki.

5. Roho ikielekea mbingu twangoja wenye saburi,
Hata safari yetu iishe, tukae kwake milele.

WhatsApp