167 – Yu Hai, Yu Hai

( 251 – He Lives )

1. Yesu Bwana Mwokozi aishi milele,
Najua kwamba Yupo pamoja na mimi;
Sauti nasikia, Rehema naona;
Wakati namhitaji, yupo nami.

Yu hai, Yu hai,Yu hai Bwana Yesu!
Atembea, azungumza nami siku zote.
Yu hai, Yu hai, kutoa uzima!
Hivi ndivyo nijuavyo,
Yu hai ndani yangu!

2. Ulinzi Wake upo naona dhahiri,
Miguu ichokapo, sikati tamaa.
Najua an’ongoza kupota dhoruba,
Siku ya kuja kwake nitamwona.

 

WhatsApp