1. Bwana ninakuhitaji! Ni mpofu, maskini;
Unishike mkononi, Kwako napata nguvu.
Kila saa, Kila saa Bwana ninakuhitaji;
Kila saa, Kila saa, Unilinde kila saa.
2. Univute na mavazi Ya usikivu wako;
Nguo zangu ni machafu, Nazitamani zako.
3. Wewe ukiniongoza Nitakwenda salama;
Nenda nani siku zote, U nuru na uzima.
4. Na ikiwa m-beleni Sehemu yangu ngumu,
Au ikiwa furaha, Unilinde kila saa.