147 – Uishi Ndani Yangu

( 316 – Live Out Thy Life Within Me )

1. Tawala ndani yangu, Ee Yesu, Mfalme.
Uwe kwangu majibu kwa maswali yangu;
Uishi ndani yangu, Wewe, mwongozi
Utumishi ni wangu, Wako utukufu.

2. Hekalu nimetoa, Umelisafisha;
Sasa fahari yako Imulike ndani;
Dunia iwe kumya, mwili sasa uwe
Mtumwa mtulivu Wa kukutii tu.

3. Viungo vyake mwili, Vyote vikungoja
Tayari vikuutwa Kwenda, kusimama;
Bila manumguniko au malaumu,
Au kusumbuliwa, Pasipo majuto.

4. Niwe na utulivu pasipo haraka;
Tayari kungojea maagizo yako.
Tawala ndani yangu, Ee Yesu, Mfalme,
Uwe kwanfgu majibu kwa maswali yote.

WhatsApp