142 – Nasikia Sauti Yako

( 282 – I Hear Thy Welcome Voice )

1. Nasikia mwito, Ni sauti yako;
Nikasafiwe kwa damu Ya kwangikwa kwako.

Nimesongea mtini pako,
Unisafi kwa damu ya kwangikwa kwako.

2. Ni mnyonge kweli, umenipa nguvu;
Ulivyonisfi taka Ni utimilivu.

3. Yesu hunijuvya: Mapenzi imani,
Tumai, amani, rahi, hapa na mbinguni.

4. Napata wokovu, Wema na neema;
Kwako Bwana nina nguvu Na haki daima.

WhatsApp