141 – Chini Ya Msalaba

( 303 – Beneath the Cross of Jesus )

1. Chini ya msalaba Nataka simama;
Ndio mwamba safarini, Wa kivuli chema;
Ni kweli kwa roho yangu Ni tuo kamili,
Tatua mziho wangu Wakati wa hari.

2. Hapa ni pema sana, Ni ngome kamili;
Hapa yameonekana, Mapenzi ya kweli;
Kama alivyoonyeshwa Yakobo zamani,
Msalaba umekuwa ngazi ya mbinguni.

3. Na Yesu Msalabani Walimkimea,
Alikufa niokoke Niliyepotea:
Naona ajabu sana Ya manbo mawili
Jinsi alivyonipenda Nisiyestahili.

4. Atakayeonana Na Yesu mbinguni,
Njia yake aanzapo Ni Msalabani;
Wokovu upo hapa tu, Mwingine hapana,
Kisha kuna furaha kuu Pamoja na Bwana.

WhatsApp