139 – Uliniimbie Tena

( 286 – Wonderful Words of Life )

1. Uliniimbie tena, Neno la uzima;
Uzuri wake nione, Neno la uzima;
Neno hili zuri, lafundisha kweli:

Maneno ya uzima ni maneno mazuri,
Manemo ya uzima ni naneno mazuri.

2. Kristo anatupa sote, Neno la uzima:
Mwenye dhambi asikie Neno la uzima:
Latolewa bure, Tupate wokovu:

3. Neno tamu la Injili, neno la uzima;
Mwenye dhambi asikie Neno la uzima:
Litatutakasa, kwa haki ya Mwana:

 

WhatsApp