138 – Nitakuandama Kote

( 623 – I Will Follow Thee )

1. Nitakuandama kote, nitakapoagizwa,
Wewe ukiniongoza nami nitaandama.

Nitakuandama Kote, naam, ulinifia;
Kwa neema yako Bwana napenda kuandama.

2. Njia ijapoparuza kwa miiba na fujo,
Ulitangulia Mbele nami nitaandama.

3. Nijapokuta taabu na majaribu kote,
Nakumbuka shida yako, nami nitaandama.

4. Nijapoona ukiwa na mateso makali,
Wewe uliyatikiza nami nitaandama.

5. ijapo wanipeleka vilindini mwa giza,
Wewe uliyatikiza nami nitaandana.

WhatsApp