125 – Uniangalie

( There's Life In A Look )

1. ‘Uniangalie’ atwambia Yesu aliyetufia;
Msalabani ni uzima, Hapa utaipata hazina.

Kutazama Kalwari, Kutazama Kalwari,
Ni kupewa kuishi Kuutazama mti.

2. Ninapojaribiwa ghafla, Shetani hatanitenga;
Nikitazama msalaba Nguzu nitaipata kwa Bwana.

3. Msalaba nitautazama Kila wakati, daima.
Ahadi nitategemea, Hovi kabisa sitaangukaa.

WhatsApp