121 – Katika Wenye Dhambi

( 295 – Chief of Sinners )

Mtunzi :

1.Katika wenye dhambi Ndimi mkuu wao—
Ila yesu akaja, Kwa dhanbi alikufa,
Akamimina damu Niupate uzima.

2.Ajabu pendo lake! Pendo lililo kuu,
Pendo lisilo mwisho, Lidumulo milele—
Lililonitafuta Inawa sikupenda.

3.Ingawa ni mbaya Kristo ni vyote kwangu;
Ajua haja zangu; Huzuni zangu, zake;
Hata katika vita, Akiwapo salama.

 

 

WhatsApp