116 – Moyo Safi

( One Thing I of the Lord Desire )

1. Bwana ninataka hili, kwa kuwa nimechafuka,
Kwa moto au kwa maji unisafishe kabisa.

Unisafishe Mwokozi ndani, na nje, kwa moto—
Utakavyo: ili dhambi ife kwangu, ife kwangu.

2. Kupewa hekima yote, itakuwa tunu kubwa;
Lakini moyo safi ni, bora kwangu, bora kwangu!

3. Mpaka moyo ni safi siwezi kuyafahamu
Mambo mazuri ya mbingu, mambo mazuri ya mbingu.

 

WhatsApp