112 – Wewe Umechoka Sana?

( Art Thou Weary )

1. Wewe umechoka sana? Wataka raha?
Kwake Yesu utapata –Msaada.

2. Alama anazo Yeye? Sana! Makovu
Ya mikono, na miguu, Na mbavu.

3. Naye amevikwa taji Kichwani mwake?
Taji, kweli, alivikwa –Miiba!

4. Huku nikimfuata, Nipate nini?
Maonjo nje, na ndani—Amani.

5. Kwamba namwandama Yeye, Mwisho ni nini?
Kurithi futaha naye—Milele.

WhatsApp