108 – Tumesikia Mbiu

( 453 – We Have Heard )

1. Tumesikia mbiu: Yesu huokoa;
Utangazeni kote, Yesu Huokoa.
Tiini amri hiyo: nchimi baharini,
Enezeni mbiu hii: Yesu huokoa.

2. Imba nawe askari: Yesu huokoa;
Kwa nguvu ya kombozi, Yesu huokoa;
Imbeni wenye shida, unapounwa moyo,
Na kaburini imba: Yesu huokoa.

3. Mawimbini uenee. Yesu huokoa.
Wenye dhambi jueni: Yesu huokoa;
Visiwa na viimbe, vilindi itikeni,
Na nchi shangilie: Yesu huokoa.

4. Upepo utangaze: Yesu huokoa.
Mataifa ya shangaa: Yesu huokoa;
Milimani, bondeni, sauti isikike
Ya winbo wa washindi: Yesu huokoa.

WhatsApp