102. Mlango Pa Moyo

( The Gate Ajar for Me )

1. Mlangoni pa moyo; Mgeni! (Amesimama)
Amesimama pale, Mgeni! (Amesimama)
Umkaribishe sasa,
Umkaribishe Mwana
Wa Baba wa upendo: Mgeni! (Umkaribishe)

2. Moyo wako kwa Bwana, Fungua. (Fungulieni)
Asikuache mbali, Fungua. (Fungulieni)
Umkubali Rafiki,
Roho atafariji
Naye atakutunza: Fungua. (Fungukieni)

3. Usikie sauti Ya Bwana. (Uisikie)
Uyachague mambo Ya Bwana. (Mambo ya Bwana)
Ufungue mlango,
Usimwambie bado:
Jina lake tumai—- Yu Bwana. (Jina la Bwana)

4. Na ufungue moyo, Kwa Bwana (Fungulieni)
Utapewa msaada, Wa Bwana (Msaada wetu)
Uzuri utavikwa
Dhambi ataondoa,
Ukifungua moyo. Kwa Bwana (Fungulieni)

WhatsApp