1. Mungu nawe nanyi daima; hata twonane ya pili,
Awachunge kwa fadhili, Mungu nawe nanyi daima.
Hata twonane juu, hata twonane tena kwake;
Hata twonane juu, Mungu nawe nanyi daima.
2. Mungu nawe nanyi daima. Mungu nawe nanyi daima,
Awafunike mabawa. Awalishe, awakuze;
3. Mungu nawe nanyi daima. Mungu nawe nanyi daima,
Kila wakati wa shida Awalinde hifadhini:
4. Mungu nawe nanyi daima. Mungu nawe nanyi daima,
Awabariki na pendo Ambalo halina mwisho; Mungu nawe nanyi daima.