50 – Mungu Nawe Nanyi Daima

( 065 – God Be With You )

1. Mungu nawe nanyi daima; hata twonane ya pili,
Awachunge kwa fadhili, Mungu nawe nanyi daima.

Hata twonane juu, hata twonane tena kwake;
Hata twonane juu, Mungu nawe nanyi daima.

2. Mungu nawe nanyi daima. Mungu nawe nanyi daima,
Awafunike mabawa. Awalishe, awakuze;

3. Mungu nawe nanyi daima. Mungu nawe nanyi daima,
Kila wakati wa shida Awalinde hifadhini:

4. Mungu nawe nanyi daima. Mungu nawe nanyi daima,
Awabariki na pendo Ambalo halina mwisho; Mungu nawe nanyi daima.

WhatsApp